Skip to main content

Posts

Featured

Profesa Assad afunguka

Dar es Salaam.  Hatimaye Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amefunguka kuhusu baadhi ya tuhuma dhidi yake kuwa alilidharau Bunge baada ya kutumia neno “udhaifu” katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Profesa Assad amesema anashutumiwa bila ya makosa na kwamba anaichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu na suala hilo halimsumbui. Bunge lilifikia azimio la kutoshirikiana na Profesa Assad mapema wiki hii baada ya kumkuta na hatia ya kusema “udhaifu wa Bunge” wakati alipohojiwa kuhusu kutofanyiwa kazi kwa ripoti zake ambazo huibua ufisadi, kutofuatwa kwa kanuni za fedha, kasoro zinazosababisha kuwepo na wafanyakazi hewa na nyingine za kiutendaji. CAG Assad, ambaye kwa kawaida si mzungumzaji wa mara kwa mara na vyombo vya habari, jana alikubali kutoa muda wake kuzungumzia sakata hilo. Aliiambia gazeti la The Citizen linalochapishwa na Mwananchi Communications Limited (MCL), ...

Latest Posts

Je itachukua miaka mingapi klabu ya Simba kuvaa jezi za njano na Yanga kuvaa jezi nyekundu?, Dortmund na Bayern wanafanya leo

Maombolezo: Hii ndiyo Hali Ilivyo Tanzania Bendera Yapepea Nusu Mringoti

Tusipojifunza kutokana na hizi ajali zitatumaliza

Lipumba: Serikali itangaze nchi kurejea mfumo wa chama kimoja

Wakazi wa Ulongoni A waomba kujengewa daraja

Bashiru Ally atuma salamu za rambirambi ajali MV Nyerere

Serikali kufungua akaunti kusaidia waathirika ajali ya MV Nyerere

Mhandisi kivuko cha MV Nyerere akutwa hai majini

Mamia wakwama kwenda Ukara kutambua miili

Mwanasiasa Mkuu Kenya Kenya Akamatwa na Polisi kwa Mauaji ya Mwanafunzi